AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wanachama wa chama tawala cha Uturuki cha AK na chama kinachoungwa mkono na Wakurdi wamepigana ngumi bunge kuhusiana na mpango kuwaondolea kinga wabunge ya kutoshitakiwa.
Wabunge wakionyeshana umwamba Bungeni nchini Uturuki
Ngumi hizo ziliibuka bungeni wakati kamati ya bunge ilipokutana kujadili mabadiliko hayo yanayoungwa mkono na serikali ili kubadili Katiba kuwaondolea kinga hiyo wabunge.
Baadhi ya wabunge walikunjana mashati kwenye meza, wengine wakirusha chupa za maji na kurushiana ngumi bungeni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Bora na Kweli tutwangane kwani CCM imezidi utapeli
ReplyDeleteKila kukicha amani na utulivu wakati mahekalu wanajenga kila mji