Wolper ni Mke Wangu, Bado Ubani tu – Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Jacqueline Wolper kuthibitisha penzi lake kwa msanii wa WCB, Harmonize, muimbaji huyo wa ‘Bado’ ameibuka na kudai kuwa muigizaji huyo ni mke wake, na anachosubiri ni kuhalalisha tu.

Uhusiano wa wawili hao hauna hata mwezi tangu uweke bayana.

Akiongea na kipindi cha The Premier cha Kings FM, Harmonize alisema hajali watu wanavyosema kuwa Wolper ana umri mkubwa kumzidi.

Msikilize zaidi hapo chini akiongelea mahaba yake na Wolper.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hivi hawa wakoje???? Dah aiseee......je ni nani yuko interested na hayo maupuuzi yao?????

    ReplyDelete
  2. so wolper atabadilisha dini tena atakuwa muislam. unafiki huu.

    ReplyDelete
  3. tulisha waona wengi kama wewe Harmonize. yetu macho!

    ReplyDelete
  4. wewe muisalm gani harmo unamkashif muislam mwenzio wema kakakosa nini dada waw watu maskin

    ReplyDelete

Top Post Ad