Barakah Da Prince Afungukia Ujauzito wa Najma Kumkwamisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MSANII mwenye ‘title’ kubwa kwa sasa ndani ya ardhi ya JPM, Barakah Andrew ‘Barakah Da Prince’ amekanusha juu ya tetesi zinazoendelea kuwa mpenzi wake Najma ni mjamzito na kwamba ujauzito huo ndiyo unaomfanya yeye kushindwa kuachia kazi nyingine.

Akizidi kufungukia tetesi hizo Barakah aliongeza kusema kuwa alipanga kuachia kazi mwanzoni mwa Julai lakini ameshindwa baada ya kupata menejimenti mpya na kwamba kwa sasa kuna baadhi ya mambo wanayaweka sawa hivyo anatarajia kuachia kazi mpya Agosti.

 “Kuhusu Najma kuwa mjamzito kwa kweli hizo taarifa sifahamu na kama upo utaonekana tu maana hicho kitu huwa hakijifichi, hata hivyo wapenzi wa kazi zangu naomba waamini kuwa nipo katika mipango mizuri ya kazi kwa sasa na Agosti siyo mbali, nitatoa kazi nzuri itakayokidhi vigezo vya kimataifa,” alisema Barakah.

Aliongeza kuwa, kwa sasa hayuko tayari kuifungukia menejimenti hiyo mpya inayosimamia wasanii wawili wakubwa kutoka nchini na wengine wa kimataifa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad