AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea kupitia kipindi cha Kubamba cha Times Fm Jana, bidada huyo Mama wa mtoto mmoja aitwae Sasha amedai hamkumbuki Sugu kwa kuwa hakuwa ‘Romantic’ na alizo nazo kwake ni hisia tu za kupata mtoto wa pili na yeye.
“Sitaki kuzaa na kila Mwanaume, nieleweke wazi sitaki kurudiana na Sugu ila akinifata akidai anataka tuzae mtoto wa pili nipo tayari” Alisema.
Katika ‘line’ nyingine Mama Sasha alisema anajutia kitendo chake cha kutokutumia kinga alipojamiiana na Baba mtoto wake huyo kitendo ambacho kilisababisha kupata Ujauzito.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kinyaa kitupu
ReplyDeleteMMMMMMMMMMMMMMhhhhh!!!!
ReplyDeleteSometimes nyinyi mnaojiita mastaa wa bongo kwenye interview zenu majibu mnayoyajibu duh!bomu tupu sasa kama huyu mwanamke hapo juu sijui point yake ipo wapi au ni nini anachokitaka au ndiyo akina wale wale wa sizitaki mbichi hizi?"BE TRUE TO YOURSELF AND YOU WILL BE REWARDED"
ReplyDeleteMakubwa haya
ReplyDeleteUtapata ugonjwa wa kichaa kwa kumuwazia SUGU,hana mpango na wewe tena.
ReplyDelete