Mkubwa Fella Atolea Ufafanuzi Tetesi za Chid Benz Kujiunga na Lebo ya Wasafi...Asema Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MKURUGENZI wa kundi la Wanaume Family na Yamoto bendi, Saidi Fella maarufu Mkubwa Fella, amesema yeye na meneja wa msanii, Diamond Platnumz, Babu Tale, wameamua kumsaidia mkali wa rapu, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’, arudi katika sanaa yake na si kujiunga na kundi lolote.

Fella alisema msanii huyo kwa sasa wamemwanzishia mazoezi maalumu ya kumwezesha kurudisha mwili wake na pumzi ili aweze kurudisha makali yake katika uimbaji bila kuchoka.

Chid Benzi hawezi kujiunga na Wasafi kwa sasa mimi na Babu Tale tumekubaliana tumsaidie yeye kama yeye na si kujiunga na kundi lolote lakini kama anataka kujiunga na lebo yoyote hilo litakuwa la kwake,” alifafanua Mkubwa Fella.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mnaogopa atawaletea ngada kundini hahhaa hii kitu haina mzaha itamaliza kundi zima inaitwa dont try t at home

    ReplyDelete

Top Post Ad