AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Faiza akihojiwa na TV 1
Akiongea wiki hii, Faiza amesema wasanii wengi wa kike wa filamu wanatafuta kiki za mapenzi bila kujua kiki hizo zitawasaidiaje.
“Kiki sio mbaya lakini hiyo kiki inakusaidiaje?, mimi ukiona nafanya kiki ujue kuna kazi ambayo inakuja, sio kufanya kiki alafu unakaa kimya ilimradi uonekana na wewe upo, kwa hiyo mimi ningewashauri wasanii wenzangu wa filamu tufanye kazi,” alisema Faiza.
Muigizaji huyo kwa sasa anajipanga kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Baby Mama Drama’.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
We nae wa hovyoooo tuuuu
ReplyDeleteMbona nayeye ni mtafuta kiki mkubwa
ReplyDelete