Faiza Ally Aeleza Jinsi Wasanii wa Filamu wa Kike Wanavyotafuta ‘Kiki’ Zisizo na Faida

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa filamu Faiza Ally amewataka wasanii wenzake wa filamu kuacha kutafuta ‘kiki’ ambazo haziwanufaishi katika kazi zao.
Faiza akihojiwa na TV 1

Akiongea wiki hii, Faiza amesema wasanii wengi wa kike wa filamu wanatafuta kiki za mapenzi bila kujua kiki hizo zitawasaidiaje.

“Kiki sio mbaya lakini hiyo kiki inakusaidiaje?, mimi ukiona nafanya kiki ujue kuna kazi ambayo inakuja, sio kufanya kiki alafu unakaa kimya ilimradi uonekana na wewe upo, kwa hiyo mimi ningewashauri wasanii wenzangu wa filamu tufanye kazi,” alisema Faiza.

Muigizaji huyo kwa sasa anajipanga kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Baby Mama Drama’.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. We nae wa hovyoooo tuuuu

    ReplyDelete
  2. Mbona nayeye ni mtafuta kiki mkubwa

    ReplyDelete

Top Post Ad