AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu huyo wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Yanga, Jerry Muro amefungiwa mwaka mmoja kujihusisha na masuala ya soka.
Kikao cha Kamati ya Maadili ya TFF, kilikaa bila ya Muro kuwepo kwa kuwa wakati mwaliko unatoka alikuwa nje ya Dar es Salaam.
Katika makosa matatu aliyoshitakiwa, moja amekumbana na adhabu hiyo, moja amepigwa faini ya Sh milioni 3 na moja ameonekana hana hatia.
Muro ambaye yupo mapumzikoni Machame mkoani Kilimanjaro ambako ni kwao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
MMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMhhh
ReplyDeleteMSEMA KWELI MARA ZOTE HUWA HAPENDWI. JERRY KILA WAKATI ANAPEWA ADHABU KWA SABABU YA KUSEMA UKWELI. LAKINI MSEMA KWELI DAIMA NI MPENZI WA MUNGU. SAWA TU.
ReplyDelete