Lulu Michael Adai Hana Tatizo na Hamisa Mobeto, ni Baada ya Kudaiwa Kumpora Bwana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa filamu, Elizabeth Michael aka Lulu amekanusha tetesi za kwamba ana bifu na aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Dj Majay, Hamisa Mobeto.
Lulu na Mobeto

Muigizaji huyo ambaye kwa saa anadaiwa kutoka kimapenzi na Majay, aliingia kwenye malumbano na baadhi ya mashabiki wa Mobeto katika mitandao ya kijamii wakimtuhudi kuiba bwana.

Akiongea katika kipindi cha Weekend Chart Show cha Clouds TV Ijumaa iliyopita, Lulu amesema hata tatizo na Mobeto ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyezaa na Majay.

T“Sipendi sana kuongelea issue ambayo nitakuwa kama nachochea, mimi ni mtu fulani very peace, very very peace, sina tatizo naye,” alisema Lulu.

Akiongelea kama ni kweli kuna watu walikuwa wanatumwa na Mobeto ili wamtukane alisema “Siwezi kujua kwa sababu sijafuatwa direct, lakini sina tatizo naye, mtu akinipa kijembe namchukulia kama mtu kanipa kijembe”

Hata hivyo, Lulu na CEO wa EFM, Dj Majay kwa sasa wapo karibu zaidi, kwani wawili hao wamekuwa wakipost picha zao katika mitandao ya kijamii wakiwa pamoja.

By Yasin Ngitu
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hamisa sio wife material hata kidogo, ni mchumi kwa kutumia nyapu yake.lulu yupo peace sana. alafu kila abiria chunga mzigo wako.

    ReplyDelete

Top Post Ad