Mashabiki wazishtukia picha za Temba zinazomuonyesha amefunga ndoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mashabiki wa muziki katika mitandao ya kijamii wazipokea kiutofauti picha zinazomuonyesha msanii wa muziki kutoka TKM Wanaume Family, Temba akiwa amefunga ndoa.

Huwenda ikawa sio kweli kama mashabiki katika mitandao ya kijamii wanavyozungumza kutokana na rapper huyo kuonekana hivi karibuni akiwa na director Justin Campos wa Afrika Kusini.

Wiki moja iliyopita, Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Mkubwa Fella alitoa taarifa kwa mashabiki wa muziki kwamba staa huyo anaelekea nchini Africa Kusini kuandaa kazi mpya.


Kupitia ukurasa wa instagram, msani wa kundi la TMK Wanaume Family Chege aliandika:

Naomba sana nisaidieni kumpa hongera amani james kwa jambo hili la kheri
HONGERA sana bro Temba.
Baada ya kauli hiyo, mashabiki katika mitandao ya kijamii wamekuwa na maoni tofauti juu wa picha hiyo.

Mwigane
_Jamani eeh? Uyu jamaa. Si” arishaoa? Au hiyo ni video ya wimbo?

Salehenemganga579

Kweli jamani alioaga uyu.duh nas anakipaji.tena alioaga kiti kama st joseph au st alban dah

Allie_kb

Hii ni nyimbo bila shaka maana @mhtemba alishaowa kipind cha nyuma

tathriba_

mmhhh watu hawataki kutoa kiki wameshtuka
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad