Mwanamuziki 20 Percent Azitupia Lawama Tuzo Tano za Kilimanjaro Awards Alizopata Mwaka 2011..Asema Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamuziki 20 Percent amezitupia lawama tuzo tano alizopata kwa wakati mmoja mwaka 2011 kwenye Kilimanjaro Awards kuwa ndio zilimpa kichwa na kujiona amefika hivyo kuanza kuwa mzembe kwenye kazi zake za muziki kiasi akapotezwa hadi leo hii hayupo katika ramani ya Muziki wa Tanzania...

Mwanamuziki huyu kwa sasa ametangaza kurudi katika lebo yake ya zamani Combination Sound iliyokochini ya Producer Man Walter ...
Mwanamuziki 20 Percent 

Je kwa unavyomjua Mwanamuziki 20 Percent ataweza toboa tena kwenye ushindani mkubwa uliyoko sasa kwenye muziki wa Bongo?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad