Mwigizaji Shamsa Ford Adaiwa Kuchumbiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

UBUYU uliokolea rangi jijini ni kwamba staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford anadaiwa kuchumbiwa na mfanyabiashara maarufu Bongo, Chid Mapenzi.

Kwa mujibu wa chanzo chetu kilichopo karibu na mwanaume huyo kilieleza kuwa, wawili hao wapo kwenye mipango lukuki ya kufunga pingu za maisha na mwanzoni mwa wiki hii Chid alifunga safari hadi ukweni mkoani Dodoma kutoa mahari ambayo haikufahamika ni kiasi gani cha fedha.

Baada ya kuunasa ubuyu huo, shushushu wetu alitafuta ‘kontakti’ za msanii huyo aliyewahi kujizolea umaarufu na Filamu ya Chausiku, alipoulizwa alionesha mshktuko na kuangua kicheko;

 “Khaa! Huo ubuyu kiboko, hakuna kitu kama hicho jamani, mimi yule ni mtu wangu wa karibu tu isitoshe kwetu siyo Dodoma, watu bwana!”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. KUCHUMBIWA NI BORA SANA/YEYE NI MWANAMKE KAMA WENGINE WENGI WAZURI NA ANAJUA KUJIWEKA

    ReplyDelete

Top Post Ad