AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waajiri hao kwa pamoja wanadaiwa kuisababishia NSSF hasara ya Sh497.17 milioni, ambazo ni malimbikizo ya michango waliyotakiwa kuiwasilisha.
Akizungumza katika ziara yake mkoani Iringa Alhamisi hii, Mhagama alisema uamuzi wa NSSF wa kutaka kuwafikisha mahakamani waajiri hao ni mzuri, unastahili kutekelezwa mapema.
Awali, Kaimu Meneja wa NSSF Mkoa wa Iringa, Patrick Gandye alisema ofisi yake imeamua kuwafikisha mahakamani waajiri kumi kutokana na kitendo chao cha kutowasilisha michango ya wafanyakazi, jambo linalokwamisha utekelezaji wa majukumu yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK