NSSF Kuwaburuza Kortini Waajiri 10 Kwa Tuhuma za Kuchelewesha Michango ya Wafanyakazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri Jenista Mhagama amebariki mpango wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Iringa wa kutaka kuwafikisha waajiri 10 mahakamani kwa tuhuma za kuchelewesha michango ya wafanyakazi.

Waajiri hao kwa pamoja wanadaiwa kuisababishia NSSF hasara ya Sh497.17 milioni, ambazo ni malimbikizo ya michango waliyotakiwa kuiwasilisha.

Akizungumza katika ziara yake mkoani Iringa Alhamisi hii, Mhagama alisema uamuzi wa NSSF wa kutaka kuwafikisha mahakamani waajiri hao ni mzuri, unastahili kutekelezwa mapema.

Awali, Kaimu Meneja wa NSSF Mkoa wa Iringa, Patrick Gandye alisema ofisi yake imeamua kuwafikisha mahakamani waajiri kumi kutokana na kitendo chao cha kutowasilisha michango ya wafanyakazi, jambo linalokwamisha utekelezaji wa majukumu yake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad