AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond
Muimbaji huyo amesema yeye na mpenzi wake Zari wanategemea mtoto wa kiume.
“Yah kweli mimi ni baba kijacho,” Diamond alikiambia kipindi cha Leo Tena “Natarajia Mama Tiffa anipatie tena mtoto mwingine, atakuwa wa kiume,”
Aliongeza, “Na itakuwa mwezi Disemba mwaka huu! Baada ya hapo sitaongeza tena mtoto mwingine, ni muda wa kula bata sasa ndio unafata na watoto wetu wawili”
Diamond na Zari tayari wana mtoto mmoja wa kike, ‘Tiffa’ ambaye hivi karibuni atatimiza mwaka mmoja.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Komaa Zari, Komaa, zaa tu na hapo ndo utamfunga Chibu hata kuacha masikini na Hilo jumba madale hakikisha jina ni LA mwanao. Maana naona wengi kweli wanampango wa kujizalisha. Ndoa niaje?
ReplyDeleteNenda kwa atangaze
ReplyDeleteTanzania mzima
Haituhusu
Kama umeishiwa nyimbo
Funga Domo
Lako
Fyuuu
Muoane sio kufanya zinaa tu,binadamu tunatakiwa kua na hofu ya mungu hp duniani ni transit tu,siku moja sote tutaondoka....
ReplyDeleteBossLeba anadangà nywa tuu yeye azae lakini wanaokula vya Domo wanajulikana.
ReplyDeleteHONGERENI SANA!!!! WENYE WIVU WAJINYONGE!!!!
ReplyDeleteWho fuckin cares hata akienda kujifungulia huko vichochoroni ni sawa tu
ReplyDeleteMwandishi mengine huwa ayanaa haja ww kutuandikia kwani ayatuhusu,akijifungua na asipo jifungua ni suala lake n familia yake.
ReplyDeleteHongereeni sana,
ReplyDelete