Kuna Nini Kati ya Orijino Komedi na Mpoki?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kumekuwa na sintofaham kwa mashabiki wa kundi la vichekesho la original comedy la hapa nchini linaloundwa na vijana sita akiwemo Mpoki, Masanja, Joti, Mark Regan kipara na wengineo kwa kuwataja wachache kwamba huenda hilo kundi limevunjika na pengine kuna beef kati ya kutokana na mfululizo wa matukio ya hivi karibu.

1. Kutokutoa kazi mpya kwa muda mrefu
Kubwa ni ukimya wa hili kundi wa kutoa kazi mpya. Wamekuwa kimya sana hawa wasanii kwenye kutoa kazi mpya kupelekea watu kujiuliza pengine limekufa.

2. Kila mtu anafanya kazi yake
Kwa sasa kila mtu anafanya kazi yake kwa Mpoki yeye ni muajiriwa kituo cha radio cha E fm. Masanja amejiajiri kwenye miradi kadhaa ikiwemo ule aliofungua muda si mrefu wa uuzaji mgahawa.

3. Kutokushirikiana kwenye shughuli za kijamii
Kwa sasa baadhi ya hawa wasanii wamekuwa hawahudhurii kwenye baadhi ya shughuli za kijamii ikiwemo harusi na sherehe. Mfano hivi karibu mmoja kati ya hawa wasanii Masanja alikuwa anaoa. Wengi walihudhuria lakini Mpoki hakuonekana kwenye shamrashamra za harusi hiyo kuweza kutia hofu kwa mashabiki zao.

Je kundi limekufa?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wakipalanganyika watatutoa machozi ma-fanz wao!! Hata dalili tumeziona, mara episodi ya4, mara ndindindiiii! Wanapoteza dira...!

    ReplyDelete
  2. Uchaguzi (kampeni) umekwisha!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  3. Aliyeeee-fuliaaaa!!! ndi ndi ndi

    ReplyDelete

Top Post Ad