Mbunge Professor Jay Akibeza Kingereza..Adai Sio Muhimu Kukijua..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Hip Hop na Mbunge wa Mikumi, Professor Jay amesema kutokujua Kiingereza siyo dhambi. "Hii sijui kiingereza, Kiingereza ni Kushoboka tu. Viongozi wengi mbona tunaona wanakuja hapa Tanzania hawajui Kiingereza."

Kwa upande wako unadhani kuna umuhimu wowote wa kukijua kiingereza?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. SIZITAKI MBICHI HIZI"Kuna mambo mengine mtu inabidi ukubali kutokana na "GLOBALISATION"Kuwa mtu ujue kiingereza swali langu wewe Mr.mbunge hiyo smart phone yako unayoitumia maelekezo yake na jinsi ya kuitumia kwake ipo kwenye lugha gani huo ni mfano mmoja mdogo na wa karibu tukiacha vitu vingine kama computer na kadhalika "USIMGEZE TEMBO KUNYA UCHANIKA MSAMBA MR.MBUNGE RUDI SHULE UKAJIFUNZE KIMOMBO UONDOE MATONGOTONGO MACHONI

    ReplyDelete
  2. Hahahaha kiingereza Bila hela sawa nakupiga kelele RIP Langa Kileo

    ReplyDelete

Top Post Ad