Mtangazaji Edo Kumwembe Aula Supersport..Apata Deal la Uchambuzi wa Soka....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mchambuzi Mahiri wa Michezo Edo Kumwembe apata deal nono ya kuwa mchambuzi wa Kiswahili wa Supersport chini ya DSTV, Ameandika haya katika ukurasa wake wa Facebook mara baada ya kusaini mkataba:

"DEAL DONE. Am happy kuwatangazia kuwa nimesaini deal na Supersport kwa ajili ya kuwa Mchambuzi wao katika matangazo ya Ligi Kuu England kwa kiswahili. Nitakuwa naenda Johannesburg kila Ijumaa na kurudi Dar es salaam Jumatatu...Thanks everyone"
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad