AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shamsa Ford alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWZ na kusema kuwa alikuwa mwoga kumuweka wazi kwa jamii mpenzi wake mpya lakini kwa kuwa mapenzi yamemzidi imebidi sasa amuweke wazi, kwani anasema mapenzi huwezi kuyaficha.
“Mwanzo kweli nilikuwa naogopa lakini mapenzi yakizidi huna namna inabidi tu ujiachie, ni kweli mpaka sasa tayari ameshanitolea mahari nyumbani” alisema Shamsa Ford
Katika kusherehekea siku ya kuzaliwa Shamsa Ford alitumia nafasi hiyo kumtambulisha mpenzi wake mpya ambaye anafahamika kwa jina la Chid Mapenzi ambaye mara kadhaa alikuwa akisema ni mtu anayeshirikiana naye kwenye biashara tu.
eatv.tv
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sasa kiko wapi hovyoooooo mfyuuuuuuuuuuuu!!!!
ReplyDelete