Shamsa Ford Amuweka Wazi Mpenzi wake Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amefunguka na kusema kuwa baada ya kuachana na mpenzi wake wa zamani Nay wa Mitego ambaye alimuweka wazi kwa jamii na kuja kuachana baada ya muda mfupi alikuwa mwoga tena kumuweka wazi mpenzi wake mpya.

Shamsa Ford alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWZ na kusema kuwa alikuwa mwoga kumuweka wazi kwa jamii mpenzi wake mpya lakini kwa kuwa mapenzi yamemzidi imebidi sasa amuweke wazi, kwani anasema mapenzi huwezi kuyaficha.

“Mwanzo kweli nilikuwa naogopa lakini mapenzi yakizidi huna namna inabidi tu ujiachie, ni kweli mpaka sasa tayari ameshanitolea mahari nyumbani” alisema Shamsa Ford

Katika kusherehekea siku ya kuzaliwa Shamsa Ford alitumia nafasi hiyo kumtambulisha mpenzi wake mpya ambaye anafahamika kwa jina la Chid Mapenzi ambaye mara kadhaa alikuwa akisema ni mtu anayeshirikiana naye kwenye biashara tu.

eatv.tv
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sasa kiko wapi hovyoooooo mfyuuuuuuuuuuuu!!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad