AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye mkutano huko Pennsylvania bwana Trump alimshambulia Bernie Sanders kwa kumuachia nafasi Bi Clinton.
Tajiri huyo alisema kuwa Sanders alifanya makubaliano na ‘shetani’ .
Wanachama wa Democrat na Republican wememkosoa bwana Trump kutokana na matamshi yake kuhusu wazazi wa mwanajeshi M’marekani muislamu aliyeuawa vitani nchini Iraq.
Source: BBC
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kama bongo
ReplyDeleteDikteka uchwara
Polisi WA bongo
Wana siasa ndo walivyo dunia
Nzima
Watanzania tujifunze kwa hili
ReplyDeleteTunapochaguwa rais tutizame historia yake na scandal zake
Yeye na mkewe pamoja na family yake