Vyombo vya HABARI Vitakavyo Ripoti Mikutano, Maandamano na HABARI za Kichochezi Vitachukuliwa Hatua-Nape

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri Nape Nnauye amesema Waandishi na Vyombo vya Habari vitakavyoripoti mikutano, maandamano au habari za kichochezi vitachukuliwa hatua ikiwemo kufungiwa kwa kueneza uchochezi.

Amesema Vyombo vya Habari havipaswi kuripoti habari za kuichonganisha Serikali na wananchi wake.

Je yupo sahihiii?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mliambiwa hii serekali ni ukandamizaji patakua hakuna uhuru wa vyombo vya habari wala wanasiasa.anataka asifiwe yeyetu.na nchi itawashinda .

    ReplyDelete
  2. Yupo sahihi kabisa kwetu mwenye kuelewa na wapenda amani..mpakahapo elimu iatakalo tinga katika jamii yetu..Nape unalo Fanya ni sahihi na endelea na uzalendo wako. Unataka Tanzania ya Amani na upendo na uwajibikaji.. na hii ni Mbona ya uwajibikaji....

    ReplyDelete

Top Post Ad