AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama hicho kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar kimekuwa na mgogoro wa kiungozi tangu Profesa Ibrahim Lipumba ambaye alijivua uenyekiti Julai mwaka jana, atangaze nia ya kurejea kwenye uongozi.
Katika tukio la jana linalodaiwa kutokea saa 2.30 asubuhi wakati Bashange akitoka nyumbani kwake, limeripotiwa kituo cha polisi cha Buguruni wilayani Ilala.
Kamanda wa Ilala ambayo kipolisi ni mkoa, Salum Hamduni aliiambia Mwananchi kuwa watuhumiwa hao wanahojiwa na polisi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK