AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Vitu hivyo vinadaiwa kutumiwa na watu hao kufanya ujambazi.Inadaiwa kwamba watu hao ni wale waliovamia na kuiba fedha katika jengo la Sophia House lililopo Keko Dar es Salam wakiwa wamevaa sare za polisi na kutumia gari ya Noah.
Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika zinaeleza kwamba watu hao ni pamoja na mwanamke mmoja aliyekamatiwa Bunju katika Manispaa ya Kinondoni ambako vilikutwa vitu vyote vilivyoporwa na wanaume wawili waliokamatiwa Mbagala Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam.
Chanzo hicho kilieleza kwamba silaha zilizokamatwa ni pamoja na bunduki tatu za SMG na risasi zake 260, bastola 16 na risasi zake 526, panga moja na michimbiko mitatu ya kung’olea mageti..
Vitu vingine ni pingu za chuma 45 na tatu za plastiki, ‘radio call’ 12 , kamera ya CCTV moja, gari moja ya Noah, sare ya polisi jozi moja, ‘pump action tatu na mkasi mmoja.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hawa hawajui msikiti/kanisa.
ReplyDeleteWALAANIWE!
ASANTE KWA KAZI NZURI MNAZOFANYA YA KULINDA MAISHA YA RAIA WA TZ.HAKUNA CHA KUWAPA POLISI WETU ZAIDI YA KUWAOMBEENI DUA.
ReplyDeleteMUNGU AWATUNZE NA KUWAEPUSHA NA KILA HILA YA ADUI.