AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Daraja hilo litakuwa na urefu wa km 7 na km 1,4 zitajuwa ndani ya bahari kusaidia kupunguza foleni fedha hizo zimetolewa na Exim ya Korea Kusini
Magufuli pia ameema ana mpango wa kumteua balozi akaiwakilishe Tanzania Korea Kusini kwa kuwa ni marafiki.
Pia wamezungumzia ujenzi wa meli mpya ziwa Victoria ambapo wakorea hao watawatuma watalaamu wao kufanya ukaguzi, ujenzi wa meli upo kwenye bajeti ya serikali.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Curious. What exactly is the correct name of the bridge?
ReplyDeleteIs it SEA-LANDER,SALENDER, SURRENDER, SALENDA or SIR-LANDER? There is gotta be some bridge name some how