Umati wa Watu Wakesha Wakisubiri Kupatwa Kwa Jua...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Umati wa watu umepiga kambi eneo la Rujewa, wakisubiri tukio la kupatwa kwa jua kipete linalotokea baadaye leo.

Katika eneo hili ambalo awali halikuonekana kuwavutia wapita njia hata kufaa kutumika kama sehemu ya kujiburudisha kutokana na shughuli ya uchimbaji mawe na upasuaji kokoto, usiku huu watu wamejaa huku watu wakijiburudisha.

Mwandishi wa habari hizi ameshuhudia watu wakiingia na kutoka eneo hilo, ambalo wataalam wa anga wameweka mitambo yao kwa ajili ya kuratibu tukio hilo la kihistoria.

Mama lishe, wachoma nyama na wauzaji wa vinywaji vikali wapo kazini kuwahudumia watu waliofika kushuhudia tukio hilo.

“Kwa kweli tukio hili ni kukumbukwa, muda kama huu ninakuwa nyumbani lakini hawa watu  lazima wahudumiwe,” mamalishe Christina Mgaya.

Hata hivyo, uhaba wa nyumba za kulala wageni katika mji mdogo wa Rujewa umesababisha baadhi ya wageni kukosa sehemu ya kulala na kukesha eneo hilo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad