Roma Asababisha Kushushwa Kwa Stamina Jukwaani Fiesta ...Stamina Afunguka Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

September 18 ndio siku ambayo mvua ya burudani ya Fiesta 2016 ilikuwa inashuka katika uwanja wa Jamhuri Stadium mjini Morogoro.

Usiku huo jambo ambalo lilimake headlines kinomanoma ni kitendo cha wasanii wawili Roma Mkatoliki na Stamina kushushwa jukwaani baada ya msanii @Roma2030 kutumia lugha isiyo ya kimaadili katika show hiyo.

Roma alisikika katika interview kwenye U-herad ya September 10 lakini Stamina alikuwa hahitaji kuzungumzia kabisa suala hili kutokana na alivyo kasirishwa na kitendo hicho ukizingatia show ile ilikuwa ni yakwake na #Roma alimpa mashavu tu kama surprise.

Stamina kwa mara ya kwanza ameamua kuzungumzia kilichotokea usiku ule, ikiwa ni baada ya usiku wa jana kupiga bonge moja la show kwenye Fiesta pande za Mbeya akiwa na msanii Roma Mkatoliki.
.
“Always shows zangu za Morogoro huwa napenda kufanya vitu vya kitofauti, kama unakumbuka Fiesta ya mwaka juzi kwenye show yangu ya Moro nilimdondosha #FidQ kama surprise, na hicho ndicho nilitaka kukifanya mwaka huu kwasababu me na Roma kuna goma tumepiga nikaamua nimuweke kama surprise. Show tulipanga fresh lakini kama unavyoujua muziki wa Roma unavitu flani hivi ambavyo sio vizuri kimaadili kiasi kwamba vimewahi kumsababishia kufungiwa. Alichokosea Roma ni kutaja yale maneno pale uwanjani ukizingatia ni show ambayo ilikuwa inaruka LIVE, na kama inavyo julikana kwenye show ya LIVE huwezi kutukana, na hicho ndio kitu killichosababisha muziki kuzimwa.” Alisema Stamina

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad