AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bao pekee katika mchezo huo limefungwa dakika za mwisho katika mchezo huo na kuzima ndoto za watanzania kuisuhudia timu yao ikienda kuliwakisha taifa kwenye michuano mikubwa barani Afrika.
Kocha wa Serengeti Boys Bakari Shime amesema matokeo hayo huenda ni mipango ya Mungu licha ya wao pia kuwa na mipango yao kuhakikisha timu inafuzu kwenye mashindano ya AFCON.
“Ni ngumu hata kuelezea, kimsingi tulifanya kilakitu kizuri na tulifanikiwa kwa kilakitu, game tuliikamata lakini kosa dogo ambalo tumelifdanya wenzetu wakalitumia na kutumaliza. Vijana walicheza vizuri sana hawajawahi kucheza kama walivyocheza leo”.
Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Dar es Salaam, Serengeti Boys ilishinda kwa magoli 3-2, hivyo kuruhusu goli 1-0 ugenini kunafanya matokeo ya jumla kuwa 3-3 lakini Tanzania inatupwa nje kwa sheria ya goli la ugenini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Poleni,na ni yetu sote,Lakini ndio wimbo kwenye soka la TZ kwa sasa.
ReplyDelete