Vanessa Mdee Afichua Sababu za Ali Kiba Kuzimiwa Mic Mombasa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Vanessa mdee ambaye pia ali pafomu Mombassa ametaja sababu iliyosababisha Ali Kiba kuzimiwa mic ni kuwa Chris Brown aliingia akiwa hana mood nzuri, kwa hivyo ili kumfurahisha wale waandaji ikabidi wakatishe shoo ya Ali Kiba wampe muda wa kupanda jukwaani atakapojisikia yeye

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sasa nyie vijana wetu (Ali, D, S nk.) mnagombana nini wakati Chris B anajulikana kwa ujeuri wake? Ali Kiba nawe saa ingine uko so insecure inatupia lawama pasipohusika. Mnawapa faida wauza magazeti tu wakati nyi mnajipa maumivu na mabiff yasiyokuwa ya lazima.

    ReplyDelete

Top Post Ad