Mashabiki Wavamia Page ya Instagram ya Wizkid na Kumporomoshea Matusi Baada ya Kunyanganywa Tuzo...Mwenyewe Asema Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hapo awali, Wizkid hakuwa mtu aliyejishughulisha kabisa na masuala ya tuzo. Lakini siku za hivi karibuni baada ya kuibuka na ushindi wa kishindo kwenye MTV MAMA, huenda aliamua kuufungua moyo wake.

Na sasa kuna kila dalili kuwa akarejea tena kwenye msimamo wa awali wa kuzichukulia tuzo kama si kitu cha maana baada ya kudaiwa kuwa MTV EMA wamesitisha ushindi wake na kuamua kumpa Alikiba kwakuwa ni dhahiri kwa mujibu wa kura ndiye aliyekuwa akistahili.

Baada ya hilo, mashabiki wengi wa Alikiba wameivamia page yake ya Instagram na kumporomoshea kila aina ya maneno, mengine yakiwa yamejaa kejeli.

Huenda maneno hayo yalimwongezea hasira zaidi alizozipata baada ya kupewa taarifa hiyo mbaya kiasi cha kuamua kufuta post alizokuwa ameweka kwenye Instagram kusherehekea ushindi.

Kupitia Twitter, huenda akawa ameamua kutupa jiwe gizani na wengi wametafsiri kuwa ndio ‘reaction’ yake baada ya kutokea hayo.

Ametweet:

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad