AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sana naumia maana nilipata habari na mtu wa karibu kua mpenzi wangu anaruka ukuta nilipuuzia nikaona hayo ya uongo sasa nimekuja kusikia tena juzi kwa baadhi ya watu kua huyu ni tabia yake kurishwa ukuta toka yupo chuo sasa nikipima na maneno yake kua chochote nachotaka atanipa picha inanijia maana kila tuwapo faragha ananiwekea mitego ya ajabu ajabu tuu ..
Sasa uyu nilikua na malengo nae aje awe mke sasa naingiwa na hofu unaeza oa mke anaefanya huo uchafu? sasa heshima si itashuka jamani? nifanyeje?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hapo ni kusuka au kunyoa wenzako wameshaufungua huo mlango wa kutokea haja kubwa kazi kwako"YES"or"NO"
ReplyDeleteEndeleza kama vip watu wanaitafuta Iyo bahati. Mtoto anakupa hidaya waikataa ama wewe watu wainunua kwa malaka ww wapewa bure watia mbwembwe
ReplyDeleteEndeleza kama vip watu wanaitafuta Iyo bahati. Mtoto anakupa hidaya waikataa ama wewe watu wainunua kwa malaka ww wapewa bure watia mbwembwe
ReplyDeleteKama yy analuka ukuta! Kwan wewe huwezi!? Nawe luka ukuta!
ReplyDeleteMi natafuta mademu wa kutoa ndogo we wakataa Ama kweli dunia hadaa walimwengu shujaa
ReplyDeleteHivi mnajua kuwa mnaposhauri vibaya nae anaeshauriwa akatenda dhambi kama hivyo baadhi yenu mnavyomshauri, na nyinyi mnaandikiwa dhambi kama yeye aliyezifanya.
ReplyDeleteKUWENI MAKINI SANA NA USHAURI MNAOUTOA