AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amendelea na ziara zake za kutatua kero za Wananchi ambapo leo ameianza wilaya ya Kinondoni.
Akizungumza na Watumishi wa Umma wa Wilaya hiyo, Makonda alisema kuwa wapo wanaoshinda kwa waganga na wanaotumia hirizi ili kujikinga wasitumbuliwe.
Kwa upande wa Mkuu wa Wilaya hiyo DC Ally Hapi amesema kuwa atahakikisha anawashughulikia watendaji ambao hawawajibiki ipasavyo katika nafasi zao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
VIJANA... MAJUKUMU TUMEKUPENI... NA KAZI NZURI MNAZOFANYA ZINAONEKANA... ENDELEENI KUMSAIDIA BABA JPJM.. NGUVU MNAZO..NIA MNAYO ...NA UWEZO MNAO.. NA SAPOTI YA MH. JPJM MNAYO.. ENDELEENI KIUADILIFU NA SISI WACHUKIA DILI TUKO NANYI BEGA KWA BEGA .. KUINYOOSHA NCHI NA WAJANJA WAJANJA... DILI KWETU NI MAREHEMU.
ReplyDeleteVIJANA... MAJUKUMU TUMEKUPENI... NA KAZI NZURI MNAZOFANYA ZINAONEKANA... ENDELEENI KUMSAIDIA BABA JPJM.. NGUVU MNAZO..NIA MNAYO ...NA UWEZO MNAO.. NA SAPOTI YA MH. JPJM MNAYO.. ENDELEENI KIUADILIFU NA SISI WACHUKIA DILI TUKO NANYI BEGA KWA BEGA .. KUINYOOSHA NCHI NA WAJANJA WAJANJA... DILI KWETU NI MAREHEMU.
ReplyDelete