AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Paulo ambaye jina lake la awali lilikuwa Issa Juma kabla hajabadili dini, alifariki Jumapili iliyopita katika mto huo, wakati shamrashamra za kubatizwa kwake zikiendelea pembeni ya mto.
Hata hivyo, Jeshi la Polisi lililazimika kuwakamata wachungaji wawili wa kanisa la Efatha waliombatiza lakini waliachiliwa baada ya Polisi kujiridhisha kuwa Paulo alikufa maji baada ya kubatizwa.
Habari zilizothibitishwa na Polisi, zimeeleza baada ya kubatizwa saa 8:30 mchana na wakati waumini wakiimba kwa ajili ya kurudi kanisani, ndipo Paulo na mwenzake waliamua kurudi kuogelea.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
INASIKITISHA SANA.
ReplyDeleteWengine pia waende kubatizwa.pazuri hapo.
ReplyDeleteHUYO ANAAMINI YUKO KWENYE UZIMA WA MILELE.NAWAPA pole ndugu na Jamaa wa Marehemu
DeleteAllah amuweke panapostahiki kuwekwa
ReplyDeleteAllah ni mbora wa kulipa ujira, hakika atamlipa malipo yake. alicho panda ndicho atavuna
Delete