BEN Pol Ametaja Kiwango cha Pesa Utachotakiwa Kumlipa ili Upate Collabo yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Inawezekana kabisa star wa BongoFlava na R&B, Ben Pol amegundua kwamba nyimbo nyingi anazoshirikiswa na wasanii wenzake zimekuwa zikiwapa mafanikio makubwa pamoja na kuwaingizia fedha za kutosha.

Kupitia Twitter, Ben Pol ametaja kiwango cha pesa ambacho msanii atatakiwa kumlipa ili apate collobo yake.

Ben Pol amesema kama kuna msanii anayehitaji kufanya naye kwazi kwasasa inabidi ahakikishe anamalizana naye kabla ya December 31, 2016 kwasababu kuanzia mwaka 2017 ili kufanya kazi naye itabidi msanii alipie kiasi cha dola 5000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 10 za Tanzania.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad