AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia Twitter, Ben Pol ametaja kiwango cha pesa ambacho msanii atatakiwa kumlipa ili apate collobo yake.
Ben Pol amesema kama kuna msanii anayehitaji kufanya naye kwazi kwasasa inabidi ahakikishe anamalizana naye kabla ya December 31, 2016 kwasababu kuanzia mwaka 2017 ili kufanya kazi naye itabidi msanii alipie kiasi cha dola 5000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 10 za Tanzania.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK