AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kafulila ambaye alijizolea umaarufu mkubwa katika bunge la kumi kwa kufichua hoja mbalimbali za ufisadi amesema kuwa ameshawasilisha barua ya kujiuzulu kwa uongozi wa chama hicho.
Akieleza sababu iliyomsukuma kujiunga na CHADEMA, Kafulila alinukuliwa akisema kuwa kikubwa ni kuhakikia wanaleta mabadiliko nchini Tanzania.
"Ili kufanya safari kuwa fupi, kuondoa vikwazo vya huyu yuko chama hiki mwingine kile nimemamua kujiunga na CHADEMA ili kurahisisha uletaji mabadiliko katika nchi yetu sababu nimeona uhitaji huo," alisema Kafulila.
Katika uchaguzi uliopita Kafulila alipoteza jimbo la Kigoma Kusini ambalo lilikwenda wa Hasna Sudi Katunda Mwilima aliyekuwa akigombea kupitia Chama cha Mapinduzi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huyo ndio kwisha maneno yake. Zile dili za kihuni za kisiasa hakuna tena. Kwisha maneno yako.
ReplyDeleteANGALIA POVU LINAVYOKUTOKA!!! , ULITAKA HILO JEMBE LIENDE CHAMA CHA MAZINGAOMBWE AU ??,NA BADO MAPOVU KUWATOKA MJIANDAE!
Deletembona na wewe povu linakutoka??? chama cha mazingaombwe ni hicho unchokiamini wewe na unaonekana jinsi gani ulivyo juha kwa kutojitambua -mfyuuuuu
DeleteHahahahahahahaha dah kwa kweeeeeliiiiiii HAPAKAZITU duh
ReplyDeleteHana jipya, karuka 'matope' kayakanyaga 'mavi', hata Mbatia na wewe kwendraaaaaa.........HAPA KAZI TU
ReplyDeleteSpidi ya Magu inawahenyesha Vilaza
ReplyDelete