Akiwa na Umri wa Miaka 50, Janeth Jackson Amepata Mtoto wa Kwanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Janeth Jackson (50)  dada wa marehemu Michael Jackson ni mwanamziki ambaye amekuwa na mafanikio makubwa  kupitia mziki wake, heshima ya mziki wake ikitambulika duniani kote. Lakini jambo moja ambalo amekuwa akitamani maishani mwake ni kupata mtoto. Imeripotiwa kuwa Janeth na mumewe Wissam Al Mana wamefanikiwa kupata mtoto wa kiume na kumuita Eissa Al Mana
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Na mimi nitazaa nikiwa na miaka 40

    ReplyDelete
  2. Hata Wema atazaa akiwa na miaka 75

    ReplyDelete
  3. du Janet Jackson pamoja na kuwa na miaka 50 lakini anaonekana kijana sana yaani mtu ukiwa na hela hautozeeka

    ReplyDelete

Top Post Ad