Alichokiandika Idris Sultan kwa Diamond na Watanzania Kwa Ujumla Kuhusu AFCON

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtanzania Diamond platnumz alipata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye upande wa burudani kwenye ufunguzi wa mashindano ya AFCON ambapo alikabidhiwa bendera ya Tanzania na Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye.

Baada ya hapo kulikuwa na maoni tofauti pamoja na maswali kwanini amepewa bendera ile. Idris Sultani ametumia ukurasa wake wa Instagram kumpongeza Diamond kwa kuiwakilisha nchi vizuri huku akiwasii watanzania kusupport wasanii wa nyumbani kwani wanapopata nafasi kama hizi ni dhahiri kuwa Tanzania inazidi kujulikana.

‘Sometimes watanzania tunasahau kama Mond anavyokula ruti, Idris anavyokula ruti, Vanessa Mdee anavyokula ruti huwa inamaanisha Tanzania imeenda mbali na yoyote kati ya watanzania anakua amefunguliwa ile njia’.-Idris Sultan
‘This is 2017 tukiacha kushushana na kulogana labda tunaweza kuwa mbali sana, na kimoja ambacho tunadharau sana ni Kiingereza na tunakua na maneno kama mbona wachina hawaongei ila wameendelea’Idris Sultan
‘(Niambie vifaa vitano unavyovijua vinavyotengenezwa Tanzania maana hata toothpick tu tunaagiza). WE NEED TO LEARN ENGLISH WE HAVE NO WAY OUT. As for Diamond mi na wewe tunaongea na kuzinguana daily ila hata tutaniane vipi siwezi kusahau kukupa your credit nikaenda kukupea kwenye simu (unaponipigaga mabango) ’-Idris Sultan

Nakupa hapa ili na wewe uache kunipaga hongera kwenye simu 😂 haya great show na Tanzania is well represented ningekuita Simba ila utashindwa kunywa juisi za Azam na ukirudi waelezee kwanini upewe bendera ya kupeperusha we ukashonee sare za madensa wako  #ThatIsKrezi –Idris Sultan
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hapo sijaelewa hata neno moja kuwa jamaa kaongea kitu gani, bado utoto unamsumbua

    ReplyDelete

Top Post Ad