AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
ALIYEKUWA Meneja wa Mrembo wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Martin
Kadinda, amempongeza mwanadada huyo kwa kubadilisha mfumo wa maisha
yake.
Akizungumza jana, Martin alisema kitendo cha Wema kufuta
picha zake kwenye mitandao ya kijamii na kubadili tabia za kuweka wazi
maisha yake ni hatua ya kupongezwa.
“Uamuzi alioufanya Wema ni hatua nzuri na ya kupongezwa, mimi na
familia yake hatukuwa tukipendezwa nayo kwa kuwa ilikuwa ikichafua jina
lake,” alieleza Martin.
Martin aliongeza kwamba Wema ambaye amebadili meneja kwa sasa,
amekuwa tofauti na alivyozoeleka maana amekuwa muelewa na msikivu kwa
anachoelekezwa.
Download Application ya Udaku Special Blog Kwa Kubonyeza Hapa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kashakua kiakili Wema.
ReplyDeleteAmeishakua mtu mzima eeeehhh!!!......heeeeeee atashangaa sana mwaka huuu.....mbona Magufuli kawaamsha watu???......hivi bado ana miaka 27 maana kila siku ya Mungu huyo demu umri wake unakwenda chini lol
ReplyDelete