AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Darassa anakiri kuwa AM Record kwake ndiyo ilikuwa kama nyumbani kutokana na kazi alizokuwa akifanya lakini anadai aliweza kufanya kazi kwa Mr T Touch na siku hiyo studio ya T Touch kulikuwa na matatizo hivyo ilibidi ampigie simu Manecky na kumuomba waende studio ili waweze kupata sauti ya Mr Blue lakini mwisho wa siku Manecky alimkatalia.
"Sijawahi kusema hilo jambo sehemu yoyote ile ila nakumbuka siku hiyo nilikuwa nimefanya kazi kwa Mr T Touch ila studio kulitokea matatizo kipindi hicho mimi naunga unga hivyo nilimpigia simu Manecky nikiamini AM Record ni nyumbani kweli aliniambia niende nikaenda na Mr T Touch pamoja na Mr Blue lengo lilikuwa nipate tu sauti ya Mr Blue kisha ile kazi akamalizie Mr T Touch lakini huwezi amini Manecky alinikatalia". Alisema Darassa
Mbali na hilo Darassa anasema wimbo ambao ulimpeleka kwa Manecky ndiyo wimbo ambao uliweza kufungua milango zaidi katika muziki wake
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK