Hawa Ndio Mastaa 20 wa Kike Bongo Wenye Followers Wengi Instagram

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtandao wa Instagram kwa sasa unaonekana kutumiwa zaidi na watu wengi sio Tanzania pekee bali ni dunia nzima kwa ujumla. Ila kwa Afrika mastaa wa Bongo wanaonekana kupata followers wengi zaidi kwenye mtandao huo wakifuatiwa na mastaa wa Nigeria.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Bongo5, tumekuletea awamu ya kwanza ya orodha ya mastaa 20 wa kike Bongo wenye followers wengi kwenye mtandao huo wakiongozwa na malkia wa filamu nchini Madam Sepenga.

Tazama hapa chini orodha hiyo iliyowajumuisha mastaa kibao wakiwemo waigizaji, wasanii wa muziki, wanamitindo na wafanyabiashara kwenye tasnia ya burudani.

1.@ wemasepetu – 2.5M


2.@ wolperstylish – 2.4M



3.@ jokatemwegelo – 2.3M



4. @shilolekiuno_badgirlshishi – 2.2M



5.@auntyezekiel – 2.2



6.@vanessamdee – 2.1M



7.@shamsaford – 2M



8.@ elizabethmichaelofficial – 1.9M



9.@ officiallinah – 1.9M



10.@rossendauka – 1.7M



11.@new_kajala – 1.7M



12.@jidejaydee – 1.3M



13.@hamisamobetto – 1.3M



14.@queendarleen_ – 913K



15.@flavianamatata – 729K



16.@ireneuwoya8 – 747K



17.@j_n_mengi – 678K



18.@faizaally_ – 657K



19. @mspaulsen – 654K



20.@mwasitij – 642K
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hiyo ya kuwa na followers wengi wala isiwe tabu kwa sababu wengi wao ni HATERS vilevile. Ni followers wachache sana ambao ni wa maana kwao na sana sana hawazidi hata followers 20.

    ReplyDelete

Top Post Ad