AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wimbo wa msanii Snura ambao ulifungiwa kwa mara ya kwanza na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) 'Chura' umeonekana kuwakosha baadhi ya raia wa Nigeria baada ya msanii mkubwa wa Nigeria Don Jazzy kujirekodi video huku akiimba na kucheza ngoma hiyo
Baadhi ya mashabiki wa Tanzania pia wamepokea vyema video hiyo na kutoa sifa nyingi kwa Don Jazzy kwa kitendo cha kuimba ngoma hiyo ya Singeli pia wametoa pongezi nyingi kwa Snura kwa ngoma yake hiyo.
"Lol TZ did I get it right? #255 #Chura" alipost Don Jazzy
Hii ni sehemu ya video hiyo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK