NIVA akiri kupika 'bifu' na Nay wa Mitego

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa bongo movie Niva amesema madongo yote waliyokuwa wanatupiana na Nay wa Mitego kwa mwaka 2016 ilikuwa ni 'bifu' za kimuziki na mipango ya kibiashara kwa upande wa movie lakini hawana bifu lolote kati yao.

Akiongea kupitia eNewz Niva amesema hawajawahi kugombana na wala hawana tatizo lolote na Nay kwa kuwa ni watu ambao wamekuwa sehemu moja wamesoma shule moja na wamekuwa wakisaidiana kwenye mambo mbalimbali hata wakati Niva anafunga ndoa Nay alimsaidia kwa kiasi kukubwa.

Hata hivyo Niva ameweka wazi kuwa mambo hayo ya kudanganya mashabiki zao wameyaacha mwaka 2016 na mwaka huu hawatakuwa na mambo kama hayo kwa kuwa ni mwaka wa mafanikio zaidi kisanaa
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad