Oh Noooh:Tazama Video Masanja Akiongea Maneno ya Kumkufuru MUNGU Hadharani...!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katika Hali Isiyo ya Kawaida,Staa wa Vichekesho Nchini,Masanja Mkandamizaji amejikuta akimkashifu Mungu wakati alipokuwa Mc katika moja ya sherehe za harusi Jijini Dar es Salaam.

Masanja ambaye pia ni Mchungaji,na mjasiriamali alisikika akinukuu wimbo wa kwaya ya Ambassador of Christ ya Rwanda,unaoitwa 'Kwa nini Umeyaruhusu Haya"

Akiwa katika kuuimba wimbo huom,Ndipo Masanja akajikuta anamkufuru Mungu kwa maneno hayo(Tazama Video Clip hapo Chini Kujionea Mwenyewe)

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mshamba hana mpango anasahau alitokea wapi alikuja mjini amevaa kaptula ya khaki ina viraka kibao matakoni sasa anajifanya mjanja mtoto wa town

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hata wewe umetokea huko,na kama sio wewe basi mzazi hata babu yako.

      Delete
  2. Kitambo sana hiyo Hamna jipyaaa

    ReplyDelete
  3. ya zamani sana hiyo udaku hamna jipya

    ReplyDelete

Top Post Ad