AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
RAIS wa Uturuki Mheshimiwa
Recep Erdogan amewasili nchini jana jioni (Jumapili, Januari 22, 2017)
kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kupokelewa katika Uwanja wa Nde
ge
wa Kimataifa wa Julius Nyerere na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na niaba
ya Mheshimiwa Rais. Dkt. John Magufuli.
Rais huyo ameambatana na mkewe Mama Emine Erdogan pamoja na Mawaziri watatu ambao ni Waziri wa Mambo ya Nje Mheshimiwa Mevlüt Çavuşoğlu, Waziri wa Uchumi Mheshimiwa Nihat Zeybekekci na Waziri wa Nishati na Maliasili Mheshimiwa Berat Albayrak
Pia Rais huyo ameambatana na wafanyabiashara wapatao 85 wa nchi hiyo.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK