AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji kijakaz pazi shabani (ZAMZAM) Amefariki jana mkoani kigoma
Mwili wake unasafirishwa kuja mkoani Dar city
Msiba upo Sokota karibu na sheli. Temeke
Kwa wale.waliomsaau alikuwa kundi la kidedea alicheza tamthilia ya mchezo wa kidedea yeye na marehemu Tabia baba yao alikuwa mzee jengua,
Nawaomba wasanii wote tujumuike kwa pamoja kwenye msiba tukawafariji wafiwa
Taratibu za mazishi tutataarifiana
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
du bongo Movie wanaisha wanaondoka mmoja baada ya mwingine. R.i.p
ReplyDeleteupumzike kwa amani
ReplyDeleteupumzike kwa amani
ReplyDelete