AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza baaada ya kupokea wanachama hao, Mbunge wa Bumbuli, January Makamba (CCM), alisema wananchama hao wameamua kurudi wenyewe nyumbani kutokana na kuona ahadi nyingi za maendeleo zimetekelezwa kwa kiasi kikubwa.
Alisema chama chake kimefanya mambo mengi hivyo haoni ajabu ya kupokea wanachama kutoka vyama vingine vya upinzani.
January, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira, alisema hivi sasa kuna kazi kubwa ya kuendelea kuleta maendeleo ambayo yanahitaji umoja na mshikamano.
Alisema migogoro, majungu na fitina inatokana na kambi zilizokuwapo huku akiwasisitiza wana CCM watambue ni hema kubwa na linavumilia tofauti za watu.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kitongoji cha Kwemghogho, Shabani Kahema, aliwataka vijana na wanachama wengine kubadilika kwa kuwa CCM ndiyo chama chenye ilani inayotekelezeka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sad.What makes the country strong, stable is the oppositions. What I can say is Tanzania is yet to learn from other countries. You cant allow one party, same people rule for more than fifty years. There is something very wrong with the education system in the country. People are still sleeping till everything is gone, It will be too late then.
ReplyDeleteSad Day.
Umechemka!Una lengo la kumuelimisha kila M-TZ kweli?Yule mmasai kule kijijini ataelewa ulichoandika hapa?
Deleteno sense
DeleteOngea kiswahili tu ndugu yangu
ReplyDeleteMay be in the books, or advanced democracies. In reality, especially in Africa, opposition means oppose anything and everything. It is not about political ideology either, as witnessed by same people changing parties like changing lanes in highways. Look at how undemocratic-within opposition parties are in Tanzania for example!
ReplyDelete