AY Afunguka kuhusu msanii mwenzake wa East Coast Team kutumia madawa ya kulevya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wiki hii nzima habari iliyomake headline ni kuhusu ishu ya madawa ya kulevya ambapo wasanii mbalimbali pamoja na watu wengine wamefikishwa polisi na wengine mahakamani kutokana na madawa ya kulevya.

Baada ya kuibuka kwa swala hili tumekuja kugundua kua kumbe kuna wasanii wengi wamehusishwa na utumiaji wa madawa ya kulevya. Msanii AY alipoulizwa kuhusiana na mmoja wa wasanii ambao walikua wakiunda kundi la East Cost Team kua ni mtumiaji wa madawa ya kulevya alifunguka haya.. Unaweza tazama video nzima hapa chini

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad