AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KOCHA wa timu ya Mzimuni FC ya Sarawak mkoani Pwani, Ally Yusuf ‘Ostadh’, hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kutimuliwa kikosini kisa kikitajwa ni kukataa kukubali kuroga kabla ya mechi.
Ostadh ambaye alikuwa akikiandaa kikosi chake kukabiliana na Sunderland FC kwenye michuano ya Kombe la Jezi, alipotakiwa na uongozi wa timu hiyo kukubali kuroga ili washinde kirahisi, alikataa kwa kusema imani yake ya dini haimruhusu kufanya hivyo.
Ostadh alisema: “Unajua tangu mwanzo tulikuwa tukishinda bila hata ya kufanya hivyo, lakini baada ya kuona tumefika hatua ya nusu fainali halafu tunakutana na timu ngumu, wakasema tukaroge, nikakataa kwa sababu dini yangu hairuhusu mambo hayo, wakanitimua, lakini kichapo walichokutana nacho cha mabao 3-0 kimekuwa fundisho kwao.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK