Mbowe Apekuliwa Usiku......Arudishwa Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jana  mchana Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe alihojiwa na Polisi kuhusu sakata la dawa za kulevya baada ya jina lake kutajwa kwenye orodha ya Makonda  February 8.

Baada ya kukaa kituoni hapo kwa zaidi ya masaa mawili Waandishi wa habari waliokua nje ya eneo hilo walishuhudia Mwenyekiti huyo akichukuliwa na Gari aina ya Land Cruiser iliyofatwa na magari mengine nyuma yake na kuelekea ambako Waandishi hawakufahamu mara moja.

Baadaye msemaji  wa CHADEMA Tumaini Makene alisema  Polisi walienda na Mbowe kupekua nyumba zake na kuandikisha maelezo ya majirani ambapo alisema kwenye mida ya saa sita usiku wa kuamkia leo Polisi walimrudisha Mbowe kwenye kituo cha Polisi kati na wakamfungulia jalada la Uchunguzi….
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad