AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba inaonekana haitamuachia kiungo wake Said Ndemla kwenda kucheza soka la kulipwa nchini Sweden.
Taarifa kutoka ndani ya Simba, zinaeleza kwamba uongozi wa klabu ya AFC inayoshiriki Ligi Kuu ya Sweden anakocheza Thomas Ulimwengu haujawa wazi sana katika maelezo yake.
“Unajua wamesema wanamtaka Ndemla, lakini hakuna maelezo ya kutosha na ku
eleza biashara hii inafanyika vipi,” kilieleza chanzo ndani ya Simba.
“Wanamtaka, Simba inapata kiasi gani? Inafaidikaje sasa na baadaye? Maana isiwe mnakuza wachezaji halafu watu wanaingiza maneno mengi wanakwenda kufaidika wao.
“Hatuna shida na kuachia watu lakini tunachotaka ni uhakika wa mambo. Simba tumeumizwa sana na hata hapa Tanzania imekuwa hivyo. Tunasumbuka kuwakuza, halafu faida kwa wengine, hii sis awa.”
AFC imeonyesha nia ya kumtaka Ndemla lakini taarifa zinaeleza wameshindwa kulipa chochote zaidi ya kusema wamchukue halafu baadaye wakimuuza, Simba itafaidika pia.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK