Umeisikia Hii ya Vanessa Mdee,Afunguka Siri ya Mafanikio Yake..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki Vanessa Mdee amefunguka kwa kudai kuwa yeye ni mmoja kati ya wanawake ambao wanafanya kazi usiku na mchana ili kuhakikisha maisha yake yanaenda sawa.

Akiongea katika kipindi cha Wanawake Live cha EATV wiki hii, Vanessa amedai yeye ni mwanawake ambaye wanafanya kazi kwa bidii huku akidai tayari amejipangia ratiba ya kazi zake mpaka mwezi wa nne.

“Mimi nafanya kazi kama kichaa, kwa sababu kuna vitu ambavyo najua natakiwa nivitimize kwa muda fulani. Kwa hiyo najua nikivitimiza, nitakuwa na pesa ya kushoot video, pesa ya kuwekeza kwenye ardhi, na kupendeza kwa saababu kupendeza ni moja kati ya njia ya kuwekeza kwenye brand,” alisema Vanessa.

Aliongeza, “Lakini hayo yote hayaji bila kufanya kazi kwa bidii, kwa sababu mimi ratiba yangu kwa sasa ipo full mpaka mwezi wa nne, nimeshapanga kila kitu ambacho nitafanya kwa kipindi hichi,”

Muimbaji huyo kwa sasa anafanya vizuri na wimbo ‘Cash Madame’.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad