AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kumekua na wimbi kubwa la wasanii hasa wa Bongo Flava kuanza kuvaa meno ya dhahabu. Baadhi ya wasanii ambao wameonekana wakivaa meno hayo ni pamoja na Dogo Janja na Diamond Platnumz.
Lakini siku za karibuni msani AY nae kaanza kuonekana akiwa kavaa meno hayo. Na alipoulizwa kua ilikuaje na yeye akaanza kuvaa meno hayo alifunguka haya ambayo wengi tulikua hatujui. Unaweza tazama video yote kwa kuclick play hapa chini
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK