Video : Ben Pol afunguka kuhusu kuwepo kwa bifu kati yake na Baraka Da Prince

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Siku za hivi karibuni kumetokea wimbi kubwa la baadhi ya wasanii kuwatuhumu wasanii wenzao kua wamewaibia mashairi au wimbo mzima. Wengi hujitokeza mda mchache baada ya nyimbo hiyo kuachiwa.

Habari zilizopo kitaani ni kua kuna bifu la chinichini kati ya Baraka Da Prince na Ben Pol kuhusiana na tuhuma kua Ben Pol aliiba wimbo wa Moyo Mashine kwa Baraka. Ben Pol ameamua kujibu tuhuma hizo kwa kukanusha na kusema hayaaa, bonyeza play hapa chini kutazama alichokisema
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad